




TSh 250,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 2 years ago
Tabata Segerea
Prince Realtor
Verified documentsNyumba tano ndani ya kiwanja kimoja zote kwa pamoja zinauzwa nyumba zipo tabata segerea miter 100 kutoka barabara ya rami kila moja ina vyumba v3 sebule daining jiko chumba master public hizo tatu na mbili zina vyumba v2 sebule jiko chumba master public eneo sqm 2000 title deed mkononi bei mil 250 karibu sana mteja huwezi kuacha hizi nyumba zimejengwa kwa mazubuti
TSh 250,000,000
Safety tips
Similar properties