




TSh 60,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Goba , 1 year ago
Matosa

Peter D
Verified documentsNyumba inauzwa kwa njia ya mnada na ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji (Dawasa) vyote vipo. Ipo ndani ya fence... Unaweza ukapitia njia nne ya goba au kimara mwisho zote unafika mpaka kwenye nyumba.
TSh 60,000,000
Safety tips
Similar properties