




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , 3 years ago
mbezi kwa yusuph

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa x 6 ## laki 3 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu nyumba hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master #vyumba vyote vina makabati ndani #sebule kubwa sana #dining #jiko kubwa la kisasa #paving #garden #zipo nyumba 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea ilipwe laki 3 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hizi zipo mbezi mwisho kwa yusuph kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 20 tuu kwa miguu hapa zipo nyumba 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa na kila vyumba inajitegemea luku na mita yake ya maji dawasa
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties