




TSh 240,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 4 years ago
msongola
Prince Realtor
Verified documentsNyumba mbili kwa pamoja zinauzwa Mmiliki mmoja Mke mkubwa na mdogo Sifa za nyumba kwanza ramani ni Moja zinafanana kama mapacha Nyumba Moja wapo ina vyumba 3 Kati ya hivyo viwili ni master bedroom siting room na daining jiko Stoor na pablick toilet Zote ndani ya fensi kali sana Eneo ni msongola mbele kidogo ya kivule Sio mbali na Barabara mpya inayotaka kutiwa lami Kila kiwanja kina sqm 580. Anadaiwa benk na muda umefika Nimepata kazi kwa madalali wa benk mmoja wao ni mtu wangu wa karibu sana. Nyumba zina sifa zote muhimu Majirani wamejenga nyumba kali tupu mtaa wa ushwani Nyumba zinatupwa. Na kwa sasa ameshaanza kuhama na yupo anatoa ushirikiano wakati wote kwa madalali wa benk. BEI kwa zote 2 anataka ml 240 yaani ml 120 kila Moja.
TSh 240,000,000
Safety tips
Similar properties