




TSh 260,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 months ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsapartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa sana #jiko kubwa open kitchen #public toilet #luku na mita ya maji inajitegemea #paving #inayopangishwa ni ya juu gorofani bei ni 260,000/= x 6 dalali 260,000/= pindi ulipiapo nyumba kuona nyumba 20,000/= ________________ ilipwe laki 2 na elfu 60 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu bila kusahau pesa ya dalali shilingi laki 2 na elfu 60 pamoja na service charge shilingi elfu 20 apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji sh 1000
TSh 260,000 per month
Safety tips
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent
Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Bungalow for Rent in dar-es-salaam
Bungalow for Rent in kinondoni
2 Bedrooms Bungalow for Rent in dar-es-salaam
2 Bedrooms Bungalow for Rent in kinondoni
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Similar properties