




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ilala Ward / Ilala , 1 year ago
Nyumba inapangishwa laki 250 Majohe viwege Kwa mpemba.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba ya vyumba 3 sebule dining jiko stoo master pablic ndani ya fensi inapangishwa laki mbili na nusu Kwa mwezi mmoja, malipo miezi sita na mwezi mmoja wa madalali, ipo Ukonga Majohe viwege Kwa mpemba jirani na stendi, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hii.
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties