




TSh 65,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 1 year ago
Maramba
Aisha Rashid
Verified documentsNi nyumba nzuri inauzwa mbezi maramba mawili ina vyumba 3 vya kulala vyote master kuna parking kubwa kuna mfumo wa garden umewekwa mfumo wa maji na umeme upo karibu bei million 65 maongezi yapo karibuni saana
TSh 65,000,000
Safety tips
Similar properties