




TSh 200,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
kimara

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa ya kibachela inapangishwa apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba master kikubwa #sebule kubwa #jiko kubwa #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking ilipwe laki 2 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo mbezi kibanda cha mkaa upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1.8 usafiri ni bajaji sh 700 na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 2 upo kwenye nyumba pia unaweza kushukia au kupitia kwa gari njia ya kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 !! apartment hii itakua wazi kuanzia tarehe 01/01/2023 kuona na kulipia ni ruksa kabisa ndugu mteja apartment hizi naongea na mmiliki ( no chain hapa)
TSh 200,000 per month
Safety tips
Similar properties