




TSh 500,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsNyumba nzuri ya kisasa inapangishwa na ipo mtaa mzuri sana inapangishwa zipo mbili tuu kwenye fensi moja na zipo mbalimbali na hii moja ndio inapangishwa apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #dining #jiko kubwa la kisasa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #garden bei ni 500k x 6 ilipwe laki 5 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu kuoneshwa nyumba hii utalipia shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba utalipia kodi ya udalali kodi ya mwezi mmoja apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 12 tuu kwa miguu au ukipanda bajaji sh 500 na ukishuka tuu unapiga teke mlango njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
TSh 500,000 per month
Safety tips
Similar properties