




TSh 300,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 2 years ago
Mbezi mwisho
Prince Realtor
Verified documentsNyumba ya ghorofa inauzwa ipo mbezi mwisho umbali wa km 2 kutoka morogoro road bei tsh milion 300 maongezi yapo ukubwa wa eneo sqm 900 umiliki: hati ya mauziano ya serikali ya mtaa ila pameshapimwa tayari( hati ipo kwenye process za mwisho) vyumba 4 vya kulala vyumba vitatu master sitting room dinning room kitchen store public toilet maji yapo umeme upo pia kuna servant kota kwa nyuma ya chumba na sebule gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=
TSh 300,000,000
Safety tips
Similar properties