




TSh 280,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 1 month ago
Mbezi kwa msuguri
Aisha Rashid
Verified documentsNyumba kubwa sana inauzwa ipo mbezi jwa msuguri, ina vyumba 6 vya kulala viwili ni master , sebule kubwa, dinning, store mbili, nyumba ina hati miliki safi, umbali km 1 kutoka lami, bei milioni 280, karibu
TSh 280,000,000
Safety tips
Similar properties