




TSh 600,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri na mpya ya kisasa inapangishwa itakua tayari kuhamia kuanzia tarehe 10/04/2024 bei ni 600,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #sebule kubwa sana #vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master #jiko kubwa la kisasa lenye makabati #public toilet #heater za maji moto na baridi #aircondition #ccctv camera #electric fence #garden #parking !!zipo apartment 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa bei ni 600,000/= x 6 ilipwe laki 6 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 6 tuu kwa miguu na njia ni lami tupu hadi kwenye nyumba bila kusahau pesa ya tahadhari (caution money) shilingi laki 6 tuu kuoneshwa nyumba hii garama yake ni 30k...
TSh 600,000 per month
Safety tips
Similar properties