




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
Mwisho

Peter D
Verified documentsApartment zipo 2 tu ya juu na ya chini na ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita yake ya maji. Ipo ndani ya fence yenye paving blocks na garden nzuri. Ya juu ipo wazi
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties