




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
kimara korogwe

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vya kulala #sebule kubwa #hakuna master bedroom #ina public toilet nzuri #jiko kubwa #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #zipo apartment 4 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio ipo wazi #parking ya kutosha bei ni 300k x 6 ilipwe laki 3 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo kimara korogwe upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 10 tuu kwa miguu apartment hii naongea na mmiliki ( no chain hapa)
TSh 300,000 per month
Safety tips
Similar properties