




TSh 400,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 4 years ago
mwisho

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 4 vya kulala viwili kati ya hivyo ni master, sebule, dinning, jiko la kisasa, public toilet ndani na A/C full pia ina servant quarter yenye chumba, sebule na choo na jiko la nnje... nyumba ina uwanja mkubwa na garden nzuri ya kisasa pia ina paving block's kote na imezungushiwa security electric wire kwenye fence yote na njia yake ni rafiki kwa gari lolote lile... karibu sana usiogope maongezi yapo
TSh 400,000,000
Safety tips
Similar properties