




TSh 500,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 16 days ago
Kimara mwsho

Dalali Selebobo
Verified documentsHizi apartment zipo 4 tu kwenye compaund moja kati ya izo moja ya chini ipo wazi wahi mteja #bei 500k #sebule kubwa sana #vyumba 2 vya kulala vya wastani #chumba kimoja master #jiko kubwa #daining #store #publick toilet #luku na miter ya maji vinajitegmea maji dawasa yanatoka ndani #tailzy gipsam aluminium sliding window paving block nyumba zipo ndani ya fensi parking kubwa sana #location kimara mwisho dk 10 kwa miguu kutoka mwendokasi njia rafiki kwa gari zote za chini #bei ni 500,000 kwa mwezi malipo miezi sita pamoja na mwezi mmoja wa dalali #note kuja kuona nyumba ni shilingi elfu 20 ya kitanzania mpaka upate nyumba... (salum)
TSh 500,000 per month
Safety tips
Similar properties