




TSh 80,000,000
Dar es Salaam , Ilala , Buguruni , 3 years ago
Malapa

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala, sebule, jiko na public toilet pia ina frame 2 ambazo zina watu tayari. Ina umeme na maji pia ina uwanja wa (18*18.5). Inaangalia barabara ya mtaa na gari inafika mpaka mlangoni pia unaweza kujenga frame na kwa nyumba za kupangisha inafaa pia. Karibu sana maongezi yapo USIOGOPE BEI
TSh 80,000,000
Safety tips
Similar properties