




TSh 165,000,000
Dar es Salaam , Ilala , 1 year ago
Kivule
Prince Realtor
Verified documentsZinauzwa nyumba 3 na frem 5 zipo katkat ya kivule na msongola wilaya ya ilala dar nyumba tatu (3) ndani ya eneo moja zinauzwa zote pamoja bei milion 165 maongezi yapo kias vyumba vya kulala jumla ni 9 kila nyumba ina vyumba v3 kimoja masta dining siting jiko tailiz jipsam umeme ina kisima cha maji ina frem 5 eneo sqm 550 (makadilio) nyaraka ni ya serikal ya mtaa whatsap au piga
TSh 165,000,000
Safety tips
Similar properties