




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 7 months ago
Kibanda cha mkaa

Peter D
Verified documentsApartment ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji, kila apartment ina ina reserve tank lake na store yake ya nnje. Ndani ya fence zipo apartment 2 tu. Njia ni nzuri mpaka kwenye nyumba na usafiri wa aina yoyote unafika pia parking ipo. Bajaji ni Tsh700 na bodaboda Tsh1000. Umbali wa 1.5km kutoka mwendokasi
TSh 300,000 per month
Safety tips
Similar properties