




TSh 220,000,000
Dar es Salaam , Temeke , Kigamboni , 6 months ago
Geza ulole
Prince Realtor
Verified documentsHii ni tangazo la kuuza nyumba ya kisasa iliyopo *Kigamboni – Geza (Wilayani)*: *Bei na Hati:* - *Hati:* Hati ya Wizara - *Status:* Nyumba mpya na tayari kuhamia *Mahali:* - Eneo tulivu lenye mpangilio mzuri - Jirani wema - Karibu na huduma zote muhimu za kijamii *Muundo wa Nyumba:* - Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom) - Sebule kubwa - Dining room - Choo cha nje (Public Toilet) - Jiko la kisasa lenye makabati - Stoo *Huduma na Ustawi:* - Full AC - Garden nzuri - Eneo la kupumzikia nje ukiwa nyumbani - Uzio wa umeme (Electric Fence) kwa ulinzi wa uhakika Nyumba hii ni chaguo bora kwa familia inayotafuta makazi ya kisasa, salama na ya amani Kigamboni.
TSh 220,000,000
Safety tips
Similar properties