




TSh 65,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 22 hours ago
Kwa Msuguli

Haven Real Estate
Verified documentsBei milioni 65 maongezi yapo karibuni sana wateja nyumba inauzwa ipo mbezi kwa msuguri ipo mahali pazuri sana barabara inafikika muda wote umbali wa kutoka rod kilomita 2 na nusu hadi kwenye nyumba usafiri bajaji 1000 boda boda 1500 sifa ya nyumba nyumba kubwa sana vyumba vikubwa sana sebule kubwa sana dainingi kubwa pia vyumba vitatu vya kulala kimoja masta jiko choo cha pabiliki stoo ukubwa wa kiwanja 23 kwa 20 ni sawa sm 420 maji umeme vyote vipo nyumba bado mpya pande mbili zote kuna ukuta bado kujenga ukuta sehemu mbili tu kupelekwa kuona 30000 nyumba ya kuamiya tu mad
TSh 65,000,000
Safety tips
Similar properties