




TSh 65,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 3 years ago
mbagala Dovya
Prince Realtor
Verified documentsNyumba nzuri sana ipo mbagala chamanz kwa rakatale la dar es salaam wilaya ya temeke Jimbo la mbagala kata ya chamanz mtaa wa dovyo Nyumba kubwa Ina vyumba vitatu vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom Ina sitting room na daining room na jiko na store ina public toilet pamoja na maji na umeme eneo square meter 400 Ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa upimaji shilikishi Usha fanyika Bado hatty miliki tu Nyumba nzuri sana ipo jilani kabisa na bara bara kuu ya Rami kama dakika 8 tu kwa mwendo wa minguu kutoka bara bara kuu ya Rami Ukitaji kuiyona nipigie cm
TSh 65,000,000
Safety tips
Similar properties