




TSh 58,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 1 year ago
Mbagala rangitatu
Prince Realtor
Verified documentsNyumba inauzwa – mbagala rangi tatu kokoto, dar es slaam bei: milioni 58 tzs (tu!) eneo: mbagala rangi tatu kokoto wilaya ya temeke, dar es salaam ukubwa wa kiwanja: 550 sqm ipo umbali wa mita 60 tu kutoka barabara kuu ya lami. sifa za nyumba: nyumba ina fremu nne za biashara na zinafanya vizuri. nyumba ina vyumba 2 vya kulala (kimoja ni master bedroom), sitting room, dining room, jiko la ndani public toilet, maji yapo, umeme wa luku n.k
TSh 58,000,000
Safety tips
Similar properties