




TSh 80,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
Kwa msuguri

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji. Ipo ndani ya fence inayoingiza gari na njia yake ni rafiki kwa gari lolote karibu sana maongezi yapo.
TSh 80,000,000
Safety tips
Similar properties