




TSh 200,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ilala Ward / Ilala , 1 year ago
Nyumba inapangishwa laki mbili Majohe Viwege.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba ya vyumba 3 sebule dining jiko stoo master pablic yenye mabanda ya kufugia uwani, inapangishwa laki mbili Kwa mwezi mmoja, malipo miezi mitatu na mwezi mmoja wa madalali, ipo Ukonga Majohe viwege Kwa mpemba jirani na Barabara kubwa, ipo ndani ya fensi, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hii/ Romeni John.
TSh 200,000 per month
Safety tips
Similar properties