




TSh 175,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Goba , 1 month ago
Kulangwa

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 2 vya kulala vyote ni master, sebule na open kitchen. Pia ina servant quarter mbili zenye chumba, sebule na choo ambazo kila mpangaji analipa 250k kwa mwezi. Nyumba ipo umbali wa km1 kutoka lami. Nyumba ina document ya sales agreement ya mwanasheria. Karibu sana maongezi kidogo yapo.
TSh 175,000,000
Safety tips
Similar properties