




TSh 800,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ukonga , 2 years ago
Apartment ya 3bdrm inapangishwa Lk 8 Kariakoo Madina.

ROMENI JOHN
Verified documentsApartment ya vyumba 3 sebule dining jiko stoo master pablic, inapangishwa laki 8 kwa mwezi mmoja, malipo miezi sita na mwezi mmoja wa madalali, ipo Kariakoo mtaa wa Madina. Huduma zote za kijamii zipo karibu na apartment hii/ Ally.
TSh 800,000 per month
Safety tips
Similar properties