




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 1 year ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 250,000/= x 6 itakua wazi kuanzia tarehe 05/04/2025 kuona ndani ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba kikubwa #sebule kubwa #jiko kubwa #choo kizuri cha ndani kwa ndani (public toilet) #air-condition #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking #inayopangishwa ni ya chini ndugu mteja (sio gorofani) bei ni 250,000/= x 6 apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji au bodaboda na ukishuka tuu kwenye usafiri unatembea dk 1 upo kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties