




TSh 18,000,000 Outright Price
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 1 year ago
Mbezi

Dalali Selebobo
Verified documentsKiwanja kiwanja kiwanja kiwanja kiwanja kiwanja kizuri sana na kipo mtaa mzuri sana kinauzwa na kina sifa zifuatazo #kipo jirani na barabara #huduma zote za kijamii zipo #kiwanja kipo sehemu nzuri ukubwa :- 38 / 25 meters bei ni milioni kumi na nane (18,000,000/= ) maongezi yapo ndugu mteja kiwanja hiki ndugu mteja kipo mbezi njia ya kuelekea mpigi magohe (kituo kilipo kiwanja hiki ni machimbo) usafiri ni daladala, bajaji au bodaboda na ukishuka tuu kwenye usafiri unatembea dk 5 tuu upo kwenye kiwanja kupelekwa kuoneshwa kiwanja hiki ndugu mteja garama yake ni shilingi elfu 30
TSh 18,000,000 Outright Price
Safety tips
Similar properties