




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara bucha

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri kubwa ya kisasa inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 30/10/2023 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa vya kulala #sebule kubwa #hakuna master #jiko kubwa lina makabati mazuri #choo kizuri cha ndani kwa ndani #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #parking !!fensi ipo imejengwa nusu ila kuna walinzi wanalinda na usalama ni wa uhakika bei ni 300k x 6 ilipwe laki 3 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo kimara bucha kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 5 kwa miguu kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia kodi ya mwezi mmoja ya udalali ndugu mteja apartment hii itakua wazi kuanzia tarehe 30/10/2023 kuona ndani endapo mpangaji atakuwepo ni ruksa kabisa na malipo yanapokelewa
TSh 300,000 per month
Safety tips
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent
Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Duplex House for Rent in dar-es-salaam
Duplex House for Rent in kinondoni
2 Bedrooms Duplex House for Rent in dar-es-salaam
2 Bedrooms Duplex House for Rent in kinondoni
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
2 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Similar properties