




TSh 95,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 2 years ago
Kinyerez
Prince Realtor
Verified documentsNyumba inauzwa mkoa -dar-es-salaam-tz wilaya - ilala mahali - njia y kinyerezi kabla ya kinyerezi mwisho kituo shuka:kinyerezi mahakamani/kinyerezi park ________ nyumba ipo mtaa mzuri — bei - million 95 maongezi yap0 kiasi ukubwa kiwanja unapark magari madogo 6 umiliki - sales agreements (serikali za mtaa) eneo husika limepimwa ________ sifa za nyumba — - vyumba vitatu (3)vikubwa vya kulala sebule kubwa 1 master bedroom dinning room jiko choo public parking ya kutosha peving block maji dawasco umbali.dakika 7 tu kutoka kituoni kwenye lami extra: one boycotter room ya uwani na outside publictoilet ina maji ya dawasco — - gharama ya kuona nyumba elfu 30,000 ( service charge’s )
TSh 95,000,000
Safety tips
Similar properties