




TSh 30,000,000
Mwanza Ilemela Busweru

Nasib Isack
Verified documentsBoma linapatikana mwanza Busweru nyuma ya mkuu wa wilaya, boma nilakuezeka, liko eneo zur sana lilipo kwa mbele ake kuna eneo la soko, shulen na liko barabaran,kwa mbele ya hlo poma unajenga frem za maduka maana mapetazamana na eneo la soko, boma lina vyumba vinne vya kulala viwili master sebure kubwa dining jiko na stoo kiwanja n kikubwa, pia pana hati miliki, panauzwa30m maonge yapoooo karbu sana
TSh 30,000,000
Safety tips
Similar properties