




TSh 19,500,000
Dar es Salaam , Ilala , Ukonga , 2 years ago
Nyumba ya vyumba vitatu na sebule inauzwa ml 19.5

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba inauzwa milioni 19.5 ipo Ukonga Moshibar, ina vyumba vitatu na sebule, eneo lake ni mita 20 kwa mita 20, barabara ya gari ipo hadi mlangoni, huduma zote za kijamii zipo karibu.
TSh 19,500,000
Safety tips
Similar properties