




TSh 45,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 2 years ago
Mbagala chamazi
Prince Realtor
Verified documentsNyumba nzuri sana ina uzwa bei ya kutupa sana tsh million 45 tu Ipo mbagala chamaz magengeni jilani kabisa na hospital ya chamaz Ina vyumba vnne vya kulala kimoja master bedroom ina sitting room ina daining room na jiko pamoja public toilet ina maji na umeme upo wa luku
TSh 45,000,000
Safety tips
Similar properties