




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri mpya ya kisasa inapangishwa 250,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba master kikubwa #sebule kubwa #jiko kubwa #public toilet #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #fensi kubwa #parking bei ni 250,000/= x 6 ilipwe laki 2 na nusu kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 2 usafiri ni bajaji au bodaboda kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties