




TSh 950,000,000
Mwanza-Nyegezi-Ruchelele

Nasib Isack
Verified documentsHii n baa, Gest na hotel, ina Vyumba vya kulala 30 kila chumba n master, kina tv, fen, choo maji ya moto na ya baridi kuongea, kumbi 2 za kufanyia sherehe ,solar 2 kubwa, counter 1, jiko1, stoo,parking kubwa za kutosha eneo n kubwa sana lina chukua block nzima ya viwanja 16 ina hati miliki, barabara pande zote nne eneo lina u kubwa wa heka mbili (2) lina jumla ya Square meters 7094,bado eneo lipo kubwa la wazi unaweza jenga chochote kulingana na utashi wa mnunuaj, kumbi nyingine zaid,geam inapatikana Mwanza Nyegez Ruchelele ( jiran sana na chuo cha SAUT Malimbe) kwenye barabara ya lami inauzwa maongez yapooooooo karbu uwekeze cm
TSh 950,000,000
Safety tips
Similar properties