




TSh 65,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Mwisho

Peter D
Verified documentsChumba na choo cha nnje cha kushea watu 3, kipo mazingira tulivu na salama kwa nyakati zote iwe mvua au masika na usafiri unafika mpaka mlangoni hata kama ni lori. Chumba kipo umbali wa kutembea dakika 10 kwa miguu kutoka mwendokasi na malipo yake ni miezi sita bila kusahau na pesa ya dalali ya mwezi mmoja, karibu sana.
TSh 65,000 per month
Safety tips
Similar properties