




TSh 300,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 2 years ago
Mbweni Ubungo
Prince Realtor
Verified documentsNyumba mbili ndani ya kiwanja kimoja zote kwa pamoja zinauzwa location:mbweni ubungo bei tsh milion 300 maongezi yapo ukubwa wa kiwanja sqm 1250 umiliki:hati miliki ya wizara ya ardhi kila nyumba inajitegemea fensi yake na gate lake, pia kila moja inajitegemea kwenye umeme wake yaan kila moja ina luku yake pia kila moja inajitegemea mita yake ya maji dawasco kila nyumba ina vyumba 3 vya kulala 1 master bedroom sitting room dinning room kitchen store public toilet fenced and gate full.acc perving block gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=
TSh 300,000,000
Safety tips
Similar properties