




TSh 70,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 2 years ago
Mbezi mwisho
Prince Realtor
Verified documentsNyumba nzuri sana inauzwa mbezi mwisho kwa msuguli (ubungo municipality) ina vyumba vitatu kimoja master,dinning,sitting,kitchen&public toilet pia kuna servant quarter ya chumba kimoja,sebule na jiko vya kumalizia ujenzi umiliki: hati ya mauziano ya serikali ya mtaa (eneo limelasimishwa tayari hati inatoka kwa jina la mnunuzi) ukubwa wa eneo: sqm 600 nyumba iko mtaa mzuri umejengeka kwa mpangilio maji ya dawasco na umeme vyote vipo bei : 70 million (maongezi yapo) gharama za kwenda site ni tshs 20,000/=
TSh 70,000,000
Safety tips
Similar properties