




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ilala Ward / Ilala , 2 years ago
Nyumba 3bdrm inapangishwa laki 350 Ukonga Mumbasa.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba ya vyumba 3 sebule jiko master pablic ndani ya fensi yenye eneo sqmita 400, inapangishwa laki tatu na nusu Kwa mwezi mmoja, malipo miezi sita na mwezi mmoja wa madalali, ipo Ukonga Mumbasa karibu na stendi, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hii/ Bonge.
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties