




TSh 250,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ilala Ward / Ilala , 1 year ago
Nyumba ya 3bdrm inapangishwa laki 250 Majohe viwege.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba ya vyumba 3 sebule dining jiko vyote ni self na chumba cha kujisomea, inapangishwa laki mbili na nusu Kwa mwezi mmoja, malipo miezi sita au minne na mwezi mmoja wa madalali ipo Ukonga Majohe viwege Kwa mpemba, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hii, ipo mtaa mzuri Sana na tulivu/Romeni John.
TSh 250,000 per month
Safety tips
Similar properties