




TSh 50,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 3 years ago
kwembwe

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji. Hati ipo ya mauziano ya serikali ya mtaa.
TSh 50,000,000
Safety tips
Similar properties