




TSh 44,000,000
Dar es Salaam , Ilala , 8 months ago
Kivule
Prince Realtor
Verified documentsNyumba inauzwa kitunda (kivule misitu) wilaya ya ilala dar ina hati miliki ya wizara bei milion 44 maongez yapo (usiogope) vyumba v3 kimoja masta dining siting jiko jipsam ipo baadhi ya vyumba umeme na maji vipo (ujenzi wa fens unaendelea tofali ameanza kununua) eneo sqm 420 (makadilio) gari moja tu had mjini unatembea tu had stend whatsap au piga
TSh 44,000,000
Safety tips
Similar properties