




TSh 180,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Tegeta masaiti

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Parking space ipo ya kutosha na njia yake kutoka kwenye barabara ya lami ni rafiki kwa usafiri wa aina yoyote. Ipo mtaa mzuri wenye usalama wa kutosha. Nyumba hii ina HATI ya wizarani. Karibu sana MAONGEZI KIDOGO YAPO
TSh 180,000,000
Safety tips
Similar properties