




TSh 110,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 4 months ago
Malamba mawili

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule, dining, jiko na public toilet. Umeme na maji vyote vipo, ipo umbali wa dakika 4 kwa miguu kutoka lami, hati ipo ya mauziano ya serekali ya mtaa, karibu sana
TSh 110,000,000
Safety tips
Similar properties