




TSh 500,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Mbezi mwisho

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri kubwa ya kisasa inapangishwa na zipo 2 tuu kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa laki 5 kwa mwezi malipo ya miezi 6 sio pungufu zaidi ya hapo apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa sana #sebule kubwa #dining #jiko kubwa la kisasa #public toilet #makabati ya nguo vyumbani kote #parking #garden #paving #fensi imezungushiwa waya wa umeme bei ni 500k x 6 ilipwe laki 5 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu !!hakuna punguzo la bei wala punguzo la miezi ndugu mteja apartment hii ipo mbezi mwisho nyuma ya stand kuu ya mabasi ya mkoani na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
TSh 500,000 per month
Safety tips
3 Bedrooms Houses & Apartments For Rent
Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Bungalow for Rent in dar-es-salaam
Bungalow for Rent in kinondoni
3 Bedrooms Bungalow for Rent in dar-es-salaam
3 Bedrooms Bungalow for Rent in kinondoni
3 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in dar-es-salaam
3 Bedrooms Houses & Apartments For Rent in kinondoni
Similar properties