




TSh 130,000,000
Dar es Salaam , Ilala , Ilala Ward / Ilala , 2 years ago
Nyumba ya ramani inauzwa ml 130 Ukonga Majohe Rada

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba hiyo inauzwa milioni 130 ipo Ukonga Majohe Rada jirani na Barabara kuu ya kiwango Cha lami, ni nyumba ya ramani yenye hadhi ya kuitwa nyumba nzuri, eneo lake ni sqmita 3000, huduma zote za kijamii zipo karibu, ndugu wateja karibuni kwa uwekezaji zaidi.
TSh 130,000,000
Safety tips
Similar properties