




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 months ago
Kimara korogwe

Dalali Selebobo
Verified documentsNew apartment moja ipo wazi wahi mteja#bei 350k #sebule kubwa #master kubwa #jiko opern kitchen kabati ukutani #publick toilet ya ndani #luku na miter ya maji vinajitegemea #maji dawasa ndani #tailzy gipsam aluminum slaiding window paving blocks nyumba zipo ndani ya fensi parking kubwa sana #bei ni 350,000 kwa mwezi malipo miezi sita bila kupunguza miezi pamoja na pesa ya dalali ya mwezi mmoja #location kimara korogwe dk 5 -6 kwa miguu kutoka mwendokasi njia rafiki kwa gari zote za chini #note kuja kuona nyumba ni shilingi elfu 15 ya kitanzania mpka upate nyumba(s)
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties