




TSh 65,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 3 years ago
Mbagala Dovya
Prince Realtor
Verified documentsIna uzwa tsh mil 65 tu ipo mbagala chamanz dovyo jiji la dsm wilaya ya temeke jimbo la mbagala kata ya chamanz mtaa wa dovya eneo square meter 400 ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa vyumba vitatu vya kulala vyumba vyote ni master bedroom ina sitting room na daining room na jiko na store ina public toilet ina maji na umeme njoo uone nyumba hii nzuri sana ipo jilani kabisa na bara bara kuu ya rami
TSh 65,000,000
Safety tips
Similar properties