




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ilala Ward / Ilala , 2 days ago
Gongolamboto Majohe Halisi.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba ya vyumba 3 sebule dining jiko choo master na pablic mbili, ndani ya fensi, inapangishwa laki tatu, Tsh 300,000/ kwa mwezi mmoja, malipo miezi sita na mwezi mmoja wa madalali, ipo Gongolamboto Majohe Halisi, inatazama barabara ya mtaa, huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hii/Romeni John.
TSh 300,000 per month
Safety tips
Similar properties